Swahili   |   English
Gallery : Photo
Album:           Mkutano na Wadau

Description: Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Mary Makondo amesema kuwa Serikali kupitia Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini(RITA) utafanya utafiti Kwa lengo la kubaini kiini kinachosababisha kuwepo mwitikio mdogo katika kuandika wosia.

Album Pictures