News Center
    
    
    
    
    



























































    
    
  
  
        
            
RITA
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini
MEDIA CENTRE
News Center
News Filter

MPYA NAIBU WAZIRI MHE. JUMANNE SAGINI ATEMBELEA RITA SABASABA
Jul 08, 2025 News & Update

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini ametembelea banda la RITA kwenye maonesho ya Kimataifa ya Biashara (SABASABA) na kuongea na wananchi waliokuwa wakipatiwa huduma ya usajili na kupata vyeti vya kuzaliwa.

MPYA NAIBU WAZIRI MHE. JUMANNE SAGINI ATEMBELEA RITA SABASABA
Jul 08, 2025 News & Update

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini ametembelea banda la RITA kwenye maonesho ya Kimataifa ya Biashara (SABASABA) na kuongea na wananchi waliokuwa wakipatiwa huduma ya usajili na kupata vyeti vya kuzaliwa.

MPYA ORODHA YA WAFUNGISHA NDOA WALIO NA LESENI HAI HADI KUFIKIA 30 JUNI, 2025
Jul 03, 2025 Announcement

Tangazo kwa wafungishaji ndoa

TAARIFA YA MWAKA YA UKAGUZI WA HESABU ZA WAKALA KWA MWAKA 2024
Apr 24, 2025 Announcement

TAARIFA YA MWAKA YA UKAGUZI WA HESABU ZA WAKALA KWA MWAKA 2024

ORODHA YA WAFUNGISHA NDOA WALIO NA LESENI HAI HADI KUFIKIA TAREHE 30JUNI, 2025
Apr 24, 2025

Orodha ya Wafungishaji ndoa walio na leseni hai hadi kufikia tarehe 30 Juni, 2025

RITA YAWASILISHA TAARIFA YA USAJILI NA USIMAMIZI WA BODI ZA WADHAMINI KWA KAMATI YA BUNGE UTAWALA, KATIBA NA SHERIA
Mar 25, 2025 News & Update

RITA) imewasilisha taarifa ya utekelezaji na usimamizi wa Bodi za Wadhamini wa Taasisi za Kidini, vyama vya Siasa, vyama vya Michezo na taasisi za kijamii kwa Kamati ya Bunge Utawala, katiba na Sheria.

MKUTANO WA WAJUMBE WA BODI ZA WADHAMINI
Mar 13, 2025 News & Update

Waziri wa Sheria na Katiba, Dkt. Damas Ndumbaro akihutubia wajumbe wa Bodi za wadhamini Jijini Dar es Salaam.

Page 1 of 8
Washirika wetu
Wadau Wetu