Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini ametembelea banda la RITA kwenye maonesho ya Kimataifa ya Biashara (SABASABA) na kuongea na wananchi waliokuwa wakipatiwa huduma ya usajili na kupata vyeti vya kuzaliwa.
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini ametembelea banda la RITA kwenye maonesho ya Kimataifa ya Biashara (SABASABA) na kuongea na wananchi waliokuwa wakipatiwa huduma ya usajili na kupata vyeti vya kuzaliwa.
Tangazo kwa wafungishaji ndoa
TAARIFA YA MWAKA YA UKAGUZI WA HESABU ZA WAKALA KWA MWAKA 2024
Orodha ya Wafungishaji ndoa walio na leseni hai hadi kufikia tarehe 30 Juni, 2025
RITA) imewasilisha taarifa ya utekelezaji na usimamizi wa Bodi za Wadhamini wa Taasisi za Kidini, vyama vya Siasa, vyama vya Michezo na taasisi za kijamii kwa Kamati ya Bunge Utawala, katiba na Sheria.
Waziri wa Sheria na Katiba, Dkt. Damas Ndumbaro akihutubia wajumbe wa Bodi za wadhamini Jijini Dar es Salaam.