|
||||||
Date: 03 June, 2016 Author: Jafari H.Malema
Wakala wa usajili ufilisi na udhamini (RITA) umewataka wananchi kuandika wosia kipindi hiki wakiwa na afya njema ili kuepusha watoto, mjane au mgane na ndugu kuingia katika migogoro ikitokea mmojawapo kutangulia mbele za haki. |