RITA
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini
MEDIA CENTRE
Album Detail
May
16
2017
Usajili Geita Shinyanga
News Update
Dar es Salaam



`
Mkoa wa Shinyanga na Geita huwenda ikafikia malengo kwa asilimia 100% ya usajili na kutoa vyeti vya kuzaliwa kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano ndani ya kipindi cha miezi mitatu badala ya miezi sita iliyowekwa katika mikoa yote miwili. kwa sasa Watoto wenye vyeti vya kuzaliwa ni asilimia 91%
View Full Page