RITA
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini
MEDIA CENTRE
Album Detail
September
26
2017
UZINDUZI U5BRI LINDI NA MTWARA
News Update
Dar es Salaam



`
MIKOA YA LINDI NA MTWARA YAANZA KUANDIKISHA NA KUWAPATIA WATOTO VYETI VYA KUZALIWA BILA YA MALIPO. Watoto wa Mikoa ya Lindi na Mtwara watanufaika katika huduma ya usajili na kuwapatia vyeti vya kuzaliwa bila ya malipo ambayo inatolewa kwenye Ofisi za watendaji kata na vituo vya tiba vinavyotoa huduma ya mama na mtoto.
View Full Page