Swahili
|
English
Faq
|
Photo Gallery
|
Video Gallery
Registration,
Insolvency and
Trusteeship
Agency
HOME
ABOUT US
History
Organization
MAB
Management
REGISTRATION
Births
Deaths
Marriages
Divorces
Adoptions
INSOLVENCY
Bankruptcy
Company Liquidition
TRUSTEESHIP
Probate & Admin
Public Trustee
Trustees Incorp
Will
RITA PROJECTS
Under-Five Birth Registration Strategy
6-18 Birth Registration Initiative
FORMS
FEES
Registration fees
Will fees
Insolvency fees
Trusteeship fees
eRITA
CONTACTS
Feedback Form
Location Map
Branch Offices
Send Complaints
FRANK KANYUSI FRANK
ADMINISTRATOR GENERAL AND CHIEF EXECUTIVE OFFICER
News & Articles
16 July, 2024
pdf
| Size: 9.3 Mb
REPORT OF THE CONTROLLER AND AUDITOR GENERAL ON THE FINANCIAL AND COMPLIANCE AUDIT FOR THE FINANCIAL YEAR ENDED 30TH JUN
13 July, 2023
pdf
| Size: 2.5 Mb
BODI YA MIKOPO HESLB KUFUNGUA RASMI DIRISHA LA MAOMBI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU MWAKA WA MASOMO 2023/2024
04 July, 2023
pdf
| Size: 3.7 Mb
UZINDUZI WA MPANGO WA USAJILI NA KUWAPATIA VYETI VYA KUZALIWA WATOTO WA UMRI CHINI YA MIAKA MITANO MKOANI KAGERA
»
More News & Articles...
Legislation
There are various laws that govern RITA's functions in terms of activities.
Facebook
Twitter
Youtube
Tweet
Gallery : Album
UZINDUZI TAARIFA ZA USAJILI
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana leo Juni 24, 2024 amezindia taarifa za takwimu za Usajili wa Matukio muhimu ya Binadamu na Takwimu ( vizazi, vifo na sababu zake, ndoa na talaka) katika hafla iliyofanyika Jijini Dodoma.
[ View Pictures..... ]
RITA AWAY DAY 2024
Kabidhi Wasii Mkuu na Afisa Mtendaji Mkuu wa RITA Bw. Frank Kanyusi Juni 23, 2024 ametoa maagizo kwa watumishi wote wa Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) kuzingatia maadili ya utumishi wa Umma pamoja na kuchapa kazi kwa kuzingatia weledi, ubunifu na kutanguliza uzalendo katika kutoa huduma bora kwa Wananchi. Bw. Kanyusi ameyasema hayo Jijin Dar es Salaam wakati akizungumza na Wafanyakazi katika mkutano wa mwaka uliojumuisha watumishi kutoka Wilaya zote hapa nchini. "Fanyeni kazi kwa bidii na kujituma huku mkitambua sheria na kanuni za utumishi wa umma, jiepusheni na vitendo vya rushwa, kauli mbaya kwa wateja na utoro kazini kwani hivyo vyote husababisha kuwakosesha haki wananchi lakini pia ni utovu wa nidhamu kwa mtumishi wa umma." Alisema Bw. Kanyusi. Kwa upande wake Naibu Kabidhi Wasii Mkuu Bi. Irene Lesulie amesema kwa sasa mazingira ya utoaji huduma yanaendelea kuboreshwa kwa wafanyakazi na hivyo kuhakikisha muda na rasilimali zilizopo zinatumika vizuri katika kutekeleza majukumu ya kila siku. " Wote ni mashahidi tumepatiwa watumishi wapya na kwa upande wetu tumewapatia vitendea kazi zikiwemo kompyuta mpakato ili kuwezesha kutoa huduma kidijitali kupitia eRITA katika Wilaya zote." Alisema Bi. Lesulie.